SDASMS ni mfumo wa kutuma ujumbe wa maandishi (SMS) kwa idadi kubwa ya watu kwa wakati mmoja. Mfumo huu unatumika sana na makanisa, taasisi za makanisa (hospitali, shule na vyuo) na mashirika ya kiuinilisti kwa madhumuni mbali mbali kama vile kutangaza injili, kutoa taarifa muhimu kwa washiriki, watenda kazi wa kanisa, na mawasiliano mengine y amiradi ya kijamii. kwa kutumia huduma yetu, mtumiaji anaweza kutuma ujumbe mmoja ambao utawafikia walengwa wengi kwa haraka na kwa ufanisi.