Kuza, lea, hamasisha na shirikisha washiriki
kufanya kazi ya Mungu kwa njia ya SMS.

Gundua nguvu ya teknolojia yenye kasi ya kufanya uinjilisti bila mipaka.

Kwa nini SDASMS?

SDASMS ni mfumo wa kutuma ujumbe wa maandishi (SMS) kwa idadi kubwa ya watu kwa wakati mmoja. Mfumo huu unatumika sana na makanisa, taasisi za makanisa (hospitali, shule na vyuo) na mashirika ya kiuinilisti kwa madhumuni mbali mbali kama vile kutangaza injili, kutoa taarifa muhimu kwa washiriki, watenda kazi wa kanisa, na mawasiliano mengine y amiradi ya kijamii. kwa kutumia huduma yetu, mtumiaji anaweza kutuma ujumbe mmoja ambao utawafikia walengwa wengi kwa haraka na kwa ufanisi.

Faida za mfumo wetu.

Zaidi ya Taasisi 5000 zinatumia huduma yetu.

Maswali yanayoulizwa zaidi